Home KITAIFA WAZIRI MKUU ASHIRIKI MAZISHI YA MZEE LUKUMAY

WAZIRI MKUU ASHIRIKI MAZISHI YA MZEE LUKUMAY

Google search engine
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiweka shada la maua kwenye kaburi la  Mzee  Stephen Lukumay, mfanyabiashara wa siku nyingi jijini Dodoma na mmiliki wa hoteli ya NAM, katika mazishi yaliyofanyika nyumbani kwa marehemu, Ngaramtoni jijini Arusha, Juni 20, 2023.  (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Elias Lukumay (kushoto) ambaye ni mototo wa marehemu Stephen Lukumay akishuhudia wakati jeneza lenye mwili wa baba yake lilipoteremshwa kaburini katika mazishi yaliyofanyika  nyumbani kwa marehemu, Ngaramtoni jijini Arusha, Juni 20, 2023. Mzee Lukumay ni mfanyabiashara wa siku nyingi jijini Dodoma na mmiliki wa hoteli ya NAM. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alishiriki katika mazishi hayo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika mazishi ya  Mzee Stephen Lukumay, mafanyabiashara wa siku nyingi jijini Dodoma na mmiliki wa hoteli ya NAM yaliyofanyika  nyumbani kwa marehemu, Ngaramtoni jijini Arusha, Juni 20, 2023.  (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Google search engine

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here