Home KITAIFA WAOMBOLEZAJI WAMIMINIKA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI OMAN KUTOA POLE NA KUSAINI KITABU...

WAOMBOLEZAJI WAMIMINIKA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI OMAN KUTOA POLE NA KUSAINI KITABU CHA RAMBIRAMBI MSIBA WA RAIS MSTAAFU ALI HASSAN MWINYI

Google search engine
Sheikh Ahmed Ali Sharif Al Amri akisaini kitabu cha maombolezi katika Ubalozi wa Tanzania mjini Muscat, Oman
His Royal Highness Mohamed Bin Salim Al Said, Mkuu wa Itifaki wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Oman mstaafu,  akisaini kitabu cha maombolezi kufuatia msiba wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Alhaj Ali Hassan Mwinyi katika ubalozi wa Tanzania mjini Muscat, Oman
His Royal Highness Mohamed Bin Salim Al Said, Mkuu wa Itifaki wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Oman mstaafu, akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Tanzania nchini Oman Mhe. Fatma Mohamed Rajab baada ya kusaini  kitabu cha maombolezi
Sheikh Ahmed Ali Sharif Al Amri  na Balozi wa Tanzania nchini Oman Mhe. Fatma Mohamed Rajab baada ya kusaini  kitabu cha maombolezi
Google search engine

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here