Home KITAIFA HABARI PICHA: BENKI YA NMB YAUNGA MKONO WIKI YA USALAMA BARABARANI NCHINI

HABARI PICHA: BENKI YA NMB YAUNGA MKONO WIKI YA USALAMA BARABARANI NCHINI

Google search engine
Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Nchini, Ramadhani Ng’anzi (wa pili kushoto), akipeana mkono na Mkuu wa Kitengo cha Bima wa Benki ya NMB, Martin Massawe (kushoto), wakati wa hafla ya uzinduzi wa ukaguzi wa magari kuelekea Wiki ya Usalama Barabarani, ambapo benki ya NMB ni mmoja wa wadhamini. Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Elimu Makao Makuu ya Kikosi cha Usalama Barabarani, ACP Michael Deleli na kushoto ni Afisa Mnadhimu wa Kikosi cha Usalama Barabarani ACP Meloe Buzema na wapili kulia ni Meneja mwandamizi huduma za serikali wa abenki ya NMB, Sophia Benno (Na Mpiga Picha Wetu).
Google search engine

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here