Home KITAIFA SPIKA TULIA AFANYA MAZUNGUMZO NA NAIBU WAZIRI MKUU IRAQ

SPIKA TULIA AFANYA MAZUNGUMZO NA NAIBU WAZIRI MKUU IRAQ

Google search engine
Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Ackson, amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq, Fuad Hussein katika moja ya kumbi za Mikutano za Kituo cha Mikutano ya Kimataifa Nest wakati Mkutano wa Jukwaa la Kidiplomasia la Antalya Machi 3, 2024, Jijini Antalya Uturuki.
Google search engine

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here