Home KITAIFA RAIS SAMIA AHUTUBIA MKUTANO WA MAWAZIRI WA SHERIA NCHI WANACHAMA JUMUIYA YA...

RAIS SAMIA AHUTUBIA MKUTANO WA MAWAZIRI WA SHERIA NCHI WANACHAMA JUMUIYA YA MADOLA

Google search engine
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akihutubia wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Mawaziri wa Sheria wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola uliofanyika katika Hoteli ya Golden Tulip, Zanzibar tMachi 4, 2024.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola Patricia Scotland wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Mawaziri wa Sheria wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola uliofanyika katika Hoteli ya Golden Tulip, Zanzibar Machi 4, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, Viongozi na wageni waalikwa wakiwa wamesimama wakati wa wimbo wa Taifa kabla ya ufunguzi wa Mkutano wa Mawaziri wa Sheria wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola uliofanyika katika Hoteli ya Golden Tulip, Zanzibar Machi 4, 2024
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan pamoja na Viongozi wengine wakifuatilia matukio mbalimbali wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Mawaziri wa Sheria wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola uliofanyika katika Hoteli ya Golden Tulip, Zanzibar Machi 4, 2024.
 Baadhi ya wageni waalikwa kutoka nchi wanachama za Jumuiya ya Madola wakifuatilia kwa makini hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Mawaziri wa Sheria wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola uliofanyika katika Hoteli ya Golden Tulip, Zanzibar Machi 4, 2024.
Google search engine

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here